Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Muuguzi akiandaa chanjo ya kuchanja mtoto katika kliniki Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
© UNICEF/Thomas Nybo

DRC imepiga hatua kubwa katika kudhibiti Ebola:WHO

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuna hatua kubwa imepigwa katika kudhibiti mlipuko wa ebola nchini Jamhuri ya Kimekrasia ya Congo DRC, huku visa vikipungua kutoka 120 kwa wiki mwezi mwaka jana hadi visa vidatu au sufuri kwa wiki nne zilizopita

Sauti
2'