31 JANUARI 2024
Hii leo jaridani tunafuatilia ziara ya Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Filippo Grandi nchini Ethiopia na wakimbizi wa ndani nchini Sudan. Makala tunakupeleka nchini Msumbiji na mashinani nchini Kenya. Kulikoni?