31 JANUARI 2023
Hii leo jaridani tuakuletea mada kwa kina na tunakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumulika kampeni ya chanjo iliyomalizika jana Jumanne. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za afya, haki za binadamu na wakimbizi. Katika mashinani tutakupeleka Geneva nchini Uswisi kupata ujumbe wa shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na UKIMWI, UNAIDS kuhusu kizazi cha watato ulimwenguni ambao wako hatarini kusahaulika.