Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

27 NOVEMBA 2023

Hii leo jaridani Leah Mushi anamulika Gaza, siku ya nne ya sitisho la mapigano; kisha kauli ya shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO kulekea COP28. Makala ni kauli ya muathirika wa mapigano huko Mashariki mwa DRC na mashinani mnufaika wa kilimo endelevu kutoka Kenya.

Sauti
11'57"