14 Aprili 2022
Jaridani Aprili 14, 2022 na Leah Mushi
-Watu milioni 7 wameambukizwa chagas, upimaji na tib ani muhimu:WHO/UNITAID
-Tunazifuatilia taarifa kuwa Uingereza inataka kuwahamishia nchini Rwanda wasaka hifadhi
-Programu za mlo shuleni ni daraja la kufikia ndoto za elimu kwa watoto masikini :WFP