Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 Aprili 2022

13 Aprili 2022

Pakua

Jaridani na Leah Mushi kwanza ni habari kwa ufupi kisha katika mada kwa kina tunarejea makao makuu ya Umoja wa Mataifa kwa mahojiano maalum na waziri wa madini wa Tanzania kuhusu migogoro na rasilimali za madini ikiwemo almasi.

Mashinani ni athari za mgogoro wa Ukraine kwa uchumi wa nchi mbalimbai duniani.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'22"