Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

07 Aprili 2022

07 Aprili 2022

Pakua

Ungana na Leah Mushi anayekuletea jarida hii leo likianza na maadhimisho ya siku ya afya, WHO imetoa wito kwa serikali na wananchi kwa ujumla kutunza mazingira. 

Leo pia ni siku ya kumbukizi ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda dhidi ya watutsi ya mwaka 1994 hayakuwa ya bahati mbaya ya yalikuwa yanaweza kuzuilika. 

pia utasikia kuhusu walinda amani wa Tanzania waliotembelea wafungwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, Makala kutoka Zambia kuhusu ardhi oevu na ujumbe kwa watu kuendesha baiskeli kwa ajili ya kulinda afya zao. 

Karibu usikilize. 

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
12'28"