15 Julai 2021
Jaridani Julai 15, 2021 na Assumpta Massoi-
COVID-19 sababisha watoto milioni 23 kukosa chanjo
Makubaliano yafikiwa kuzalisha vipimo vya COVID-19 Brazil na Senegal
Sumu ni tatizo la afya ya umma lakini bado nchi zinapuuza kuweka vituo vya kudhibiti