Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

7 Julai 2021

7 Julai 2021

Pakua

Jaridani leo an Assumpta Massoi-

IFAD yapeleka dola Milioni 882,841 kusaidia wahanga wa COVID-19 Tanzania

Mgao wa fedha kwa kaya maskini waleta mnepo wakati wa COVID-19

na kijana Abel Koka asema jukwaa la Usawa wa Kijinsia la Paris limekidhi matarajio yetu vijana

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
13'7"