Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Julai 13, 2021

Julai 13, 2021

Pakua

Hii leo utasikia ripoti ya mashirika ya Umoja wa Mataifa inayoeleza kufunguliwa kwa shule na vyuo vya elimu baada ya kufungwa mwaka jana kutokana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 kumeacha baadhi ya wanafunzi katika njiapanda kwa sababu kile walichopoteza wakati shule zimefungwa , bado hakuna jitihada za kutosha kuhakikisha wanakipata ili kuepusha kukosa kabisa ufahamu wa kile walichokuwa wamepangiwa kukifahamu. 

Pia utasikia namna mabadiliko yaliyofanywa na WFP ya kutoa fedha kwa wakimbizi yalivyosaidia wakimbizi na wananchi waliowakaribisha. 

kwa hayo na mengine mengi ungana na Assumpta Massoi kusilikiza.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
14'57"