12 Julai 2021
Pakua
Jaridani hii leo na Assumpta Massoi tutasikia habari kwa ufupi lakini pia tutasikia kuhusu hatua zilizopigwa katika kutimiza malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania hususan lengo namba tatu la upatikanji ya huduma ya afya kwa wote.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
10'35"