Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

July 01, 2021

July 01, 2021

Pakua

Katita Jarida hii leo tunakujuza kuhusu ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP inayoonesha usaidizi wa kifedha kwa jamii ili kukabili umaskini uliosababishwa na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 ulikuwa mkubwa zaidi kwa wananchi wa nchi za kipato cha juu huku wale wa nchi maskini wakiambulia kidogo sana au hata patupu. Pia utasikia kuhusu matumaini ya wakimbizi nchini DRC na Somalia. 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'46"