Wakimbizi wa Rohingya wanakabiliwa na unyanyasaji na ukatili wa kingono-IOM
Wakimbizi wa jamii ya Rohingya waliokimbia machafuko Myanmar na kusaka hifadhi Bangladesh wananyanyaswa.
Hiyo ni kwa mujibu wa Shrika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM ambalo linaendesha juhudi za kusaidia zaidi ya wakimbizi 617,000 ambao wamewasili Cox’s Bazar tangu Agosti kufuatia operesheni za kijeshi Myanmar. Joel Millman ni msemaji wa IOM
(SAUTI YA MILLMAN)