Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

© UNICEF/Reinier van Oorsouw

WHO na wadau wake Tanzania yasaidia kupunguza vifo vya wajawazito wakati wa kujifungua

Hakuna mwanamke anayepaswa kufa wakati wa kujifungua, ndio maana Shirika la Umoja wa Mataifa la afya Ulimwenguni WHO nchini Tanzania baada ya kushuhudia ongezeko la vifo vya wajawazito kutokana na wajawazito kupata ugumu kuvifikia vituo vya afya ilitafuta fedha ya kusaidia kutatua changamoto mbal

Sauti
3'19"