Mdau wa biashara na Uchumi Tanzania waeleza faida za kuhesabiwa
Ikiwa ni jana tu Julai 11, ambapo dunia iliadhimisha Siku ya Idadi ya watu duniani ikiwa na mahudhui ya kuangazia umuhimu wa kukusanya takwimu jumuishi kwa kuhesabu kila mtu, kila mahali na jinsi alivyo.