WFP yasaidia raia zaidi ya milioni moja kaskazini mashariki mwa Nigeria
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limesema kuwa tangu mwanzo wa mwezi huu wa Desemba, limetoa msaada wa chakula au fedha kwa zaidi ya raia milioni moja katika maeneo yenye vita kwa walioathirika katika Kaskazini mashariki mwa Nigeria. Hii inamaanisha kwamba zaidi ya nusu ya wale wana