Kombe la amasaza kiungo muhimu cha kuunganisha jamii Hoima Uganda
Michezo ni moja ya mbinu ambazo zinaweza kutumika katika jamii ili kuendeleza amani na uwiano katika jamii. Nchini Uganda kwa kutambua umuhimu wa michezo, wameanzisha kombe la Amasaza la eneo la ufalme wa Bunyoro.