Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapigano, mafuriko vyatatiza maisha ya raia Somalia

Mapigano, mafuriko vyatatiza maisha ya raia Somalia

Wakati macho na masikio ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa nchini Sudan Kusini ambako kuna mapigano ya kikabila, nchi nyingine iliyoko pembe yaAfrika,Somalianayo inakabiliana na changamoto ya mapigano ya kikabila.

Mapigano hayo yamesababisha hali mbaya kwa raia ambao wameshindwa kufikiwa na  misaada ya kibinadamu kutokana na mafuriko kukumba eneo ambako makabila hayo yanapigana liitwalo Johwar. Ungana na Joseph Msami katika taarifa ifuatayo.