Ripoti mpya kutoka katika kituo cha kimafaida cha utafiti wa ugonjwa wa saratani duniani,IARC inasema ugonjwa huo imezigharimu nchi zenye uchumi wa kati ,kiasi cha dola za kimarekani bilioni 46 tangu mwaka 2012.
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 196 kurepotiwa kuwa mahtuti hadi katikati ya mwezi huu kufuatia mlipuko wa kipindipindu katika sehemu za kaskazini mwa Malawi.