Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Women, children, population

Kipindupindu cha katili maisha Malawi

Watu watatu  wamefariki  dunia na wengine 196 kurepotiwa kuwa mahtuti  hadi katikati ya mwezi huu kufuatia  mlipuko wa kipindipindu katika sehemu za kaskazini mwa Malawi.

Tangu mlipuko huo utokee  juhudi  kadhaa zimekuwa zikifanywa na serikali  pamoja na mashirika mengine ya msaada kama vile la afya dunaini la WHO kuweza kukabiliana na mlipuko huo  hususan katika wilaya ya Karonga inayopakana na Tanzania.