Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa jina katika ya Ugiriki na Macedonia iliyokuwa Jamhuri ya Yugoslavia (FYROM), Matthew Nimetz
UN News/Video capture

Kukata tamaa sio hulka yangu: Nimetz

Mwezi Juni mwaka jana mkataba wa kihistoria ulimaliza mgogoro wenye utata wa miaka 27 kati ya nchi mbili, ambazo ni jamhuri ya Yugoslavia ya zamani na Ugiriki. Mwanaume mmoja Matthew Nimetz kwa uvumilivu na hekma aliongoza majadiliano kwa niaba ya Umoja wa Mataifa kwa zaidi ya miongo miwili na akizungumza na UN News amesema Imani yake ya matokeo chanya katika mchakato huo haikuwahi kutoweka.

Sauti
4'16"
Lydie Mpambara (kushoto) wa Idara ya Baraza Kuu na mikutano ya Umoja wa Mataifa akihojiwa na Anold Kayanda wa UN News Kiswahili
UN News/Assumpta Massoi

Redio bado ni chombo chenye nguvu-Antonio Guterres

Jumatano hii, kama ilivyo ada kila mwaka Februari 13, dunia inaadhimisha siku ya redio duniani ujumbe ukiwa majadiliano, uvumilivu na amani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake kwa ulimwengu kuhusu siku hii amesema redio ni chombo chenye nguvu. 

Sauti
1'21"