Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mama na watoto wawili wakitembea katika kambi ya watu waliokimbia makazi yao huko Goma, mashariki mwa DR Congo
© UNICEF/Jospin Benekire

Watoto wafungwa mitego ya mikanda ya mabomu DRC

Ukatili dhidi ya watoto mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC umepindukia, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini humo likitolea mfano watoto mapacha ambao hivi karibuni walikutwa wamefungwa mkanda wenye mabomu kiunoni ili yeyote atakayejaribu kuufungua uwezo kulipuka na kusababisha maafa.

Sauti
2'42"