UNEP yatoa mbinu za ujenzi unaozingatia hali ya hewa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira duniani, UNEP kwakushirikiana na chuo kikuu cha Yale kitivo cha mifumo ya ikolojia na usanifu Yale CEA wamezindua ripoti inayoangazia ujenzi unaozingatia hali ya hewa na kutoa mapendekezo matatu ambayo yanatoa suluhu za kuondoa kaboni katika majengo na kupunguza taka zinazozalisha wakati wa ujenzi.