WFP yahitaji dola milioni 6.3 kurejesha mgao wa chakula kwa asilimia 75 Malawi
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesema linahitaji dola milioni 6.3 ili kurejesha asilimia 75 ya mgao wa chakula nchini Malawi mpaka mwezi Juni mwaka 2024.