Vyombo vya Habari Afghanistan havitoi taarifa: Wataalamu wa UN
Wataalamu wa Umoja wa Mataifa hii leo wameelezea wasiwasi wao kufuatia vyombo vya habari nchini Afghanistan kutotoa taarifa ya tukio la Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa ambalo lilizungumzia haki za wanawake na wasichana nchini humo mnano mwezi Juni 2023.