Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wanafunzi hushiriki katika shughuli ya kuongeza ufahamu kuhusu ujenzi wa amani, kwa msaada kutoka kwa mpango wa Kujifunza kwa Amani wa UNICEF.
© UNICEF

Ujumuishi na uwekezaji kwenye ujenzi wa amani ni muarobaini wa amani ya kudumu

Hii leo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekuwa na mjadala wa wazi kuhusu Ujenzi wa amani na Uendelevu wa amani  hususan kuwekeza katika watu ili kujenga mnepo dhidi ya changamoto kubwa ambapo Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed amependekeza kwa Baraza hilo mambo manne ya kuwezesha kujenga na kuendeleza amani kwa misingi ya ujumuishi na maendeleo endelevu.