UNDP Tanzania yajenga stadi za kilimo bora kwa vijana Kilimanjaro
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo duniani, UNDP nchini Tanzania limetekeleza kwa vitendo wito wa Umoja wa MAtaifa wa kutaka vijana kupatiwa stadi za msingi nje ya darasani kama njia mojawapo ya kuwawezesha kumudu kazi za siku za usoni.