Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Uchunaji wa kahawa San Marcos nchini Guatemala.
Unsplash/Gerson Cifuentes

Sekta zote zihusishwe ili kuondoa tatizo la ajira za watoto Guatemala

Ikiwa leo wakuu wa nchi na wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani wanakutana katika mkutano wa 110 wa Kimataifa wa wanachama wa shirika hilo kujadili hatua za haraka zinazoweza kuchukuliwa ili kukabiliana na athari za ajira na kijamii za migogoro mingi iliyoibuka duniani nchini Guatemala wadau wamehimiza sekta zote kujumuishwa ili kutatua tatizo la ajira kwa watoto.

Sauti
2'12"
Shehena kwenye bandari ya Mombasa, Kenya
© UNDP/Tamara Tschentscher

Uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje umerejea katika hali ya kabla ya COVID-19: UNCTAD 

Mpangilio wa uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje FDI umejikwamua na kurejea katika hali ya kabla ya janga la COVID-19  mwaka jana na kufikia kiwango cha dola trilioni 1.6 lakini matarajio kwa mwaka huu ni mabaya kwa mujibu wa ripoti mpya ya uwekezaji duniani iliyotolewa leo na kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo ya uchumi na biashara UNCTAD.