Karibu watu milioni 7 hufa kila mwaka kutokana na hewa chafuzi
Leo ni siku ya kimataifa ya “hewa safi kwa ajili ya anga ya bluu”Katika kuadhimisha siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anazihimiza nchi zote kuongeza juhudi zao za kuboresha hali ya hewa na kuhakikisha udhibiti bora wa vyanzo vya uchafuzi wa hewa.