ICC yachunguza Venezuela na Ufilipino
Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC, Fatou Bensouda ameamua kuanzisha uchunguzi wa awali dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa kile kilichopatiwa jina la operesheni maalum nchini Venezuela na Ufilipino.