Mahakama ya ICTR yaamua hukumu iliopita iendelezwe kwa watuhumiwa watatu
Korti ya Rufaa ya Mahakama ya Kimataifa juu ya Rwanda (ICTR) imeidhinisha kuendelzwa ile hukumu iliotolewa kabla dhidi ya watu watatu waliokuwa wakurugenzi wa vyombo vya habari Rwanda katika 1994, ambao walituhumiwa kuchochea mauaji ya halaiki dhidi ya raia wenye asili ya KiTutsi.