Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mjumbe Maalumu mpya wa KM kwa Cote d'Ivoire ameanza kazi

Mjumbe Maalumu mpya wa KM kwa Cote d'Ivoire ameanza kazi

Mjumbe Maalumu mpya wa KM kwa Cote d’Ivoire, Choi Young-Jin amewasili nchini humo mapema wiki hii kuanza kazi. Choi ameahidi kushirikiana na makundi yote ya kisiasa yanayoanmbatana na mgogoro wa Cote d’Ivoire, bila ya upendeleo, ili kuhakikisha amani inaimarishwa nchini pote kwa masilahi ya umma kijumla.