Msaada wa kisaikolojia nchini Gambia unasaidia watu waliofurushwa - IOM
Mgogoro ulipozuka katika kijiji cha Kaddy mapema Aprili mwaka huu, alilazimika kuacha kila kitu ili kuokoa familia yake. Makala hii iliyoandikwa na Robert Kovacs, Mshauri wa IOM katika Kuripoti na Mawasiliano nchini Gambia na kutafsiriwa na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa inaeleza namna msaada wa kisaikolojia ulivyo muhimu kwa watu wanaokimbia mizozo.