WHO yahimiza usawa wa matibabu ya saratani kwa watoto barani Ulaya
Ikiwa leo ni siku ya Kimataifa ya saratani ya utotoni, 15 Februari 2022, Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO barani ulaya limetoa ripoti inayoonesha kukosekana kwa usawa baina ya nchi na nchi kwa suala la saratani ya watoto katika Kanda ya Ulaya ya WHO.