Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Kituo cha Umoja wa Mataifa cha kulinda Raia, Wau, Sudan Kusini.
UN

Mahakama ya kuhamahama yapeleka haki Malakal, Sudan Kusini.

Kwa zaidi ya kipindi cha siku tatu, mahakama ya kuhamahama inayofadhiliwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS, imekuwa katika mji wa Malakal  jimbo la Upper Nile nchini Sudan Kusini ili kushughulikia kesi kadhaa zikiwahusisha watu ambao walitenda makossa makubwa yakiwemo kesi mbili za unyanyasaji wa kingono na moja ya unyanganyi kwa kutumia silaha.

Sauti
2'28"
Mwanamke mkazi wa Wau Shilluk Sudan Kusini, mji ambao umeharibiwa na mapigano yaliyosambaratisha makazi, shule na hospitali.
UNICEF/UN0236862/Rich

Vita na ukwepaji sheria lazima vikome Sudan Kusini:UN ripoti

Wakati maelfu ya watu kwa mara nyingine wakifurushwa makwao kwa sababu ya machafuko nchini Sudan kusini , tume ya haki za binadamu kwa ajili ya Sudan Kusini imeitaka serikali ya nchi hiyo na pande zote katika mzozo kuheshimu mkataba wa usitishaji uhasama na kutekeleza mkataba huo mpaya wa amani uliotiwa saini miezi mitano iliyopita.

Sauti
2'25"