26 AGOSTI 2022
Pakua
Katika Jarida la habari za UN hii leo Flora Nducha anakuletea
-Mradi wa maji safi na salama jimboni Cibitoke nchini Burundi kwa msaada wa UNICEF umeleta afuweni kwa wakazi na hasa watoto
-Mkimbizi kutoka DRC anayeishi Kakuma Kenya ameleta nuru ya nishati ya sola kwa wakimbizi wenzie huku akijiingizia kipato
-Makala leo inatupeleka Tanzania kumulika jitihada za vijana katika kupambana na ukimwi na afya ya uzazi kwa kuelimisha vijana Balehe
-Na mashinani afisa wa shirika la afya duniani WHO nchini Senegal anaeleza changamoto za upatikanaji wa taarifa za afya Afrika
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'51"