SEHEMU YA PILI: Kijana uyafanyayo leo, ndiyo mstakabali wako wa baadaye- Mzee Semiga
Mienendo ya mtu katika ujana wake hutoa matunda yake au machungu wakati wa uzee, anasema mzee mmoja nchini Uganda aitwaye Peter Semiga ambaye sasa ametimiza umri wa miaka 80.