Niliyaishi maisha ya kurandaranda mitaani, ninafahamu wanachokipitia.
Pakua
Tangu umri wa takriban miaka 6 Joseph Njoroge Wanyoike aliishia kuwa mtoto wa kurandaranda mitaani mjini Nairobi. Kutokana na mkono wa msamaria mwema, Joseph amefanikiwa katika maisha na sasa ameamua naye kurejesha kwa jamii. Kwa sasa Joseph Njoroge anamiliki kituo cha kuwatunza na kukuza vipaji vya vijana wa kurandaranda mitaani vikiwemo vya kucheza soka katika mji mdogo wa Ngong’ nje ya mji wa Nairobi. Mwandishi wa Kenya Jason Nyakundi amezungumza naye kutaka kufahamu safari yake
Audio Credit
Assumpta Massoi/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'37"