Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Niliyaishi maisha ya kurandaranda mitaani, ninafahamu wanachokipitia. 

Niliyaishi maisha ya kurandaranda mitaani, ninafahamu wanachokipitia. 

Pakua

Tangu umri wa takriban miaka 6 Joseph Njoroge Wanyoike aliishia kuwa mtoto wa kurandaranda mitaani mjini Nairobi. Kutokana na mkono wa msamaria mwema, Joseph amefanikiwa katika maisha na sasa ameamua naye kurejesha kwa jamii. Kwa sasa Joseph Njoroge anamiliki kituo cha kuwatunza na kukuza vipaji  vya vijana wa kurandaranda mitaani vikiwemo vya kucheza soka katika mji mdogo wa Ngong’ nje ya mji wa Nairobi.  Mwandishi wa Kenya Jason Nyakundi amezungumza naye kutaka kufahamu safari yake

Audio Credit
Assumpta Massoi/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'37"
Photo Credit
World Bank/Sambrian Mbaabu