Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ili kutokomeza njaa Tanzania tunapambana na mizizi ya tatizo hilo:WFP 

Ili kutokomeza njaa Tanzania tunapambana na mizizi ya tatizo hilo:WFP 

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP limesema njaa ni tatizo mtambuka ambalo linachangia nchi nyingi kushindwa kufikia malengo ya maendeleo endelevu SDGs. Na ili kutimiza malengo hayo nchini Tanzania WFP imeweka mkakati wa miaka mitano kushughulikias maeneo matano ambayo ni mizizi ya tatizo hilo ili kuhakikisha kwamba ifikapo mwaka 2030 ukomo wa utekelezaji wa SDGs lengo namba 2 la kutokomeza njaa linatimia pamoja na malengo mengine. Je ni maeneo gani hayo? Tuungane na Ahimidiwe Olotu wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam Tanzania. 

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Ahimidiwe Olotu
Audio Duration
4'35"
Photo Credit
© FAO/IFAD/WFP/Petterik Wiggers