15 DESEMBA 2022
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina tukimulika ukuaji wa lugha ya Kiswahili nchini Rwanda. Na habari kwa ufupi kutoka nchini Thailand, Ukraine na DR Congo. Katika kujifunza lugha ya Kiswahili Dkt. Josephat Gitonga atafafanua maana ya methali “Usishindane na kari, kari ni mja wa Mungu”.