Mashariki ya Kati bado hali si shwari, UNHCR yapaza sauti
Mashariki ya Kati bado hali si shwari, UNHCR yapaza sauti
Mapigano huko Mashariki ya Kati yakiingia siku ya tatu kati ya Israel na wapalestina, huko Geneva, hii leo wajumbe wa mkutano wa 54 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za binadamu wamesimama kwa dakika moja kuwakumbuka mamia ya watu waliopoteza maisha katika mapigano hayo yaliyoanza baada ya wanamgambo wa Hamas kurusha makombora kuelekea upande wa Israel. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.
(Taarifa ya Assumpta Massoi)
Nats..