Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Wanawake Kila mwaka ya Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Wanawake dunini (CSW) hukutana mwezi Machi kujadili namna ya kukabiliana na ukosefu wa usawa ulioenea, unyanyasaji na ubaguzi wa wanawake unaoendelea kuwakabili duniani kote.

Habari Nyinginezo

Wanawake Mkutano wa 68 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani, CSW68 ukiwa umeingia siku yake ya 5 leo, Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa imekuwa ikizungumza na washiriki kutoka mataifa mbalimbali. Leo ni baadhi ya washiriki kutoka Tanzania, vinara wa elimu wanaofadhiliwa na Mfuko wa Malala.
Wanawake Mkutano wa 68 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW68 ukiendelea hapa jijini New York Marekani tunavinjari hadi nchini Kenya kumsikia Hakimu Pamela Achieng ambaye azma yake ya kujikita kwenye masula ya kusimamia haki ilichochewa na swali alilojiuliza yeye mwenye ya kwamba  “kama mwanaume anaweza kufanya kazi zinazotambulika hasa za kutetea haki za raia katika mahakama kwanini mwanamke asiweze?”