Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mtoto akifanyiwa uchunguzi wa sikio kwenye kliniki moja nchini Zambia
© WHO/Blink Media/Gareth Bentley

Uwekezaji na uvumbuzi ni muhimu ili kuboresha usikivu wa masikio: WHO

Ikiwa leo ni siku ya usikivu wa masikio duniani utafiti wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO lumeonyesha kuwa zaidi ya watu milioni 400 duniani wanahitaji msaada wa kuwezeshwa kusikia, lakini ni asilimia 20 pekee wanaopata vifaa hivyo kutokana na ukosefu wa rasilimali fedha , rasilimali watu, na chuki za kijamii.