Itakuwa ni janga kubwa Rafah, muafaka wa kusitisha mapigano usipofikiwa: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amerejea kusisitiza wito wake wa kusitishwa mapigano, kuachiliwa kwa mateka wote na kuepusha zahma kubwa ya kibinadamu kwa watu wa Gaza.