Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Afisa polisi wa Umoja wa Mataifa Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR akiwa na ujumbe wa UN MINUSCA akiwa anafurahia huku amembeba mtoto aliye na jina kama lake
UN /Eskinder Debebe

Nchi zakumbushwa kuongeza polisi wanawake

Ikiwa leo ni siku ya Kimataifa ya Ushirikiano na Polisi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewatumia salamu za pongezi polisi ulimwenguni kote kwa kujitolea kwao kuhakikisha jamii inakuwa na amani, usalama na haki. 

Hali ya hewa na majanga kama mafuriko makubwa, joto na ukame viliathiri mamilioni ya watu na kugharimu mabilioni mwaka 2022, wakati ishara za hadithi na athari za mabadiliko ya hali ya hewa zikiongezeka.
© WMO/Kureng Dapel

Viongozi wa Afrika wapitisha Azimio la Nairobi kuhusu mabadiliko ya tabianchi

Mkutano wa siku tatu wa viongozi wa Afrika kuhusu tabianchi umekunja jamvi hii leo huko Nairobi Kenya kwa viongozi hao kupitisha Azimio la Nairobi kuhusu mabadiliko ya tabianchi likiwa na vipengele 10 vya hatua za kuchukua ikiwemo wito kwa viongozi wa dunia kutambua kuwa uwepo wa shughuli za kiuchumi zitoazo kiwango kidogo cha hewa ya ukaa, ni fursa pia ya kuchangia katika usawa na ustawi wa watu wote duniani.

Sauti
2'30"