Taliban endeleeni kushughulikia kuhusu haki za binadamu nchini Afghanistan: UNAMA
Baada ya mamlaka ya Taliban kuwepo madarakani kwa zaidi ya miezi 10 sasa, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umetoa ripoti yake kuhusu haki za binadamu na masuala mengine nchini humo.