Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

WHO imeshirikiana na nyota Mr Bean ili kuukumbusha umma kuendelea kuwa macho dhidi ya COVID-19
WHO

Mr. Bean aunga mkono vita ya WHO dhidi ya COVID-19

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limeweka wazi hii leo kuwa kwa kushirikiana na makampuni mawili ya utengenezaji filamu wameungana na kuzindua tangazo kwa umma lililomshirikisha mchekeshaji nyota duniani Mr Bean kwa lengo la kuwaelimisha wanajamii kuhusu kujikinga na virusi vya Corona.