FAO inavyofungua uwezo: Simulizi ya kijana mkimbizi Gad Harindimana Mnyarwanda nchini Uganda
Gad Harindimana, kijana mkimbizi kutoka Rwanda anayeishi katika makazi ya wakimbizi ya Nakivale amepata kazi ya ufundi pikipiki baada ya kukamilisha programu ya Huduma za Ajira Vijijini inayoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi Duniani, ILO na shirika lisilo la kiserikali la AVSI Foundation.