Wingi wa wanawake na wasichana katika nyanja ya sayansi ni faida kwa wote: UN
Uwepo wa idadi kubwa ya wanawake na wasichana katika sekta ya sayansi ni faida kubwa kwa sekta hiyo na jamii kwa ujumla, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihimiza kuchagiza wanawake na wasicha kuingia zaidi katika sekta hiyo.