Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Habari Mpya

Wenyeji wa Watamu, Kenya washirikiana na mamlaka kuondoa taka ya plastiki kutoka kwenye ufukwe wa bahari.
Cyril Villemain/UNEP

Elimu, ujumuishwaji na mabadiliko ya tabianchi ni baadhi vya vipaumbele vya Kenya:rais Kenyatta

Tumefika hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuungana na nchi wanachama kuelezea ambayo Kenya imeyafanya katika kuhakikisha inaendana na vipaumbele vya mkutano huu wa Baraza Kuu la Umoja huo UNGA74 ikiwemo mabadiliko ya tabianchi, ujumuishwaji na ushirikiano wa kuhakisha utimizaji wa malengo ya maendeleo endelevu SDGs ifikapo mwaka 2030.

Sauti
2'4"