Zahma ya mafuriko Msumbiji inaongezeka kwa saa:WFP
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani linakimbiza msaada wa chakula na vifaa vingine vya muhimu kuwafikia maelfu ya watu waliokwama kutokana na mafuriko makubwa nchini Msumbiji ambayo yanaonekana kuwa zahma kubwa kila saa